Chama cha Walimu chawaombea afueni walimu wenye vyeti feki
Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Kilimanjaro, kimeiomba Serikali kuwalipa mafao walimu waliobainika kuwa na vyeti feki wakidai kuwa walimu hao wamelitumikia taifa kwa muda mrefu
Read more »
Labels: HABARI