Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba basi la Wibonela Express lenye namba za usajili T158 CEX lililokuwa linatoka Dar es salaam kuelekea Kahama mkoani Shinyanga limegongana na basi la Tak-biir lenye namba za usajili T818 CYQ katika eneo la Kibaigwa mkoani Dodoma ambapo ujenzi wa barabara unaendelea.
Taarifa za awali zinasema watu kadhaa wamejeruhiwa.
Tutawaletea taarifa kamili hivi punde
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home