Saturday, 17 June 2017

Breaking News!! BASI LA WIBONELA LA DAR - KAHAMA LIMEGONGANA NA BASI LA TAKBIR KIBAIGWA


Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba basi la Wibonela Express lenye namba za usajili T158 CEX lililokuwa linatoka Dar es salaam kuelekea Kahama mkoani Shinyanga limegongana na basi la Tak-biir lenye namba za usajili T818 CYQ katika eneo la Kibaigwa mkoani Dodoma ambapo ujenzi wa barabara unaendelea.


Taarifa za awali zinasema watu kadhaa wamejeruhiwa.
 Tutawaletea taarifa kamili hivi punde

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home