Saturday, 17 June 2017

Breaking News; AJALI MBAYA YA GARI NA DALADALA YA BASIKELI IMATOTOKEA SHINYANGA {PHOTO}

 

 KAMA KAWAIDA YETU MKALIMANGI ANAENDELEA KUKULETEA MATUKIO YALIYOJIRI



Ambapo imedaiwa ajali hiyo  chazo chake  ni mwendo kasi  wa dreva ya  Hiace  ikiwa mwendesha  daladala alibabaika  nakutoka kwenye upande wake    wakati wakuvuka  barabara.

Hata hivyo katika ajali hiyo mwendesha daladala aliumia vibaya  maeneo ya  kichwani  na hali yake siyo nzuri wasamalia wamemkimbiza katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Gari hili katika kutaka  kumkwepa  mwendesha daladala   dreva wa amejikuta akipeleka gari hilo mtaroni.
 Hapa Trafiki akiwa na baadhi ya Mashuhuda  wa ajali hiyo  wakiendelea kuangalia gari.
 Gari limeacha njia nakuelekea mtaroni.


 Hapa askari wa usalama barabarani  akimaliza kupima ajali  ilivyotokea.

                               Hii hapa ni  baiskeli ikiwa imeharibika vibaya.
 Ha
      Hawa hapa ni Mashuhuda wa ajali  wakitafakari namna ajali ilivyotokea.


                                       

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home