CHUO CHA TUMAINI JIPYA MAFINGA KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO
Mkuu wa chuo cha Afya TUMAINI JIPYA MAFINGA ana huraha ya kuwatangazia kuwa chuo
kimeanza kupokea maombi kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 katika kozi zifuatazo.
1. CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE
2. CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH
Chuo kimesajiliwa kwa namba 144.
Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu Piga simu 0755535301 / 0754509607 / 0754444151
Labels: HABARI
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home