Wednesday, 21 June 2017

Askari Auwawa Gari lao lachomwa moto, Kibiti



Watu wasiojulikana wamemuua askari wa Usalama Barabarani katika Kijiji cha Bungu B wilayani Kibiti, mchana huu.


Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa gari la askari hao pia limechomwa moto na kwa sasa vikosi vya ulinzi na usalama vinaelekea eneo la tukio.

Tutaendelea kukujuza jina la askari huyo na namna mauaji hayo yalivyotokea hivi punde.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home