Sunday, 23 July 2017

CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO UNDERGRADUATE PROGRAMMES 2017/2018

THE UNIVERSITY OF DODOMA

image leo

CALL FOR APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO DEGREE AND NON

DEGREE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018

The University of Dodoma (UDOM) invites applications from suitably qualified candidates for admission into its various Undergraduate Degree and Non Degree Programmes (Certificate and Diploma) for the academic year 2017/2018, under the DIRECT, EQUIVALENT & RPL Qualification modes. Candidates interested to pursue degree and non degree programmes at UDOM should apply directly to the University of Dodoma through the UDOM online Admission System (UOAS). Details of the degree and non- degree programmes and application procedures can be accessed at the University of Dodoma website: www.udom.ac.tz. All successfully applicants are guaranteed of affordable on campus accommodation with excellent learning environment.
Read more »

Labels:

Monday, 17 July 2017

Lipumba ni Yuda- Tundu Lissu

Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), Tundu Lissu amesema Ukawa wanatangaza vita na CUF ya Profesa Ibrahim Lipumba kama walivyo vitani na CCM ya Rais John Magufuli kwakuwa Lipumba hana utofauti na Yuda Iskarioti aliyemsaliti Yesu
Read more »

Labels:

Aliyetobolewa Macho na Scorpion Aanza Kugawana Mali na Mkewe

WAKATI lile sakata Linalomuhusu kijana Said Mrisho aliyetobolewa macho na mtu aitwaye, Salum Njwete ‘Scorpion’ kumtelekeza mkewe, Stara Sudi ‘Mama D’ na watoto wanne, likiwa bado bichi, jipya jingine limeibuka ambapo wawili hao wameanza kugawana mali.
Read more »

Labels:

Muuguzi amdunga binti sindano na kumbaka

MUUGUZI anayefanya kazi Kituo cha Afya Kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Damian Mgaya (26) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumbaka binti wa miaka 18 mkazi wa kitongoji cha Mwagala B, Kijiji cha Mwagala.
Read more »

Labels:

Mitambo ya IPTL yazimwa

NI wingu zito. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya maombi ya Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kukwama, huku wakilazimika  kuzima rasmi mitambo yao ya uzalishaji umeme.
Read more »

Labels:

Mwalimu afumwa akifanya mapenzi na mwanafunzi

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Ahmed Msangi.

Mwalimu Abasi Hussein wa shule ya msingi Mwabomba iliyopo tarafa ya Ngula wilayani Kwimba mkoani Mwanza anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kukutwa darasani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha nne mwenye umri wa miaka 17
Read more »

Labels:

CUF Ubungo watangaza vita na Kubenea

CHAMA cha Wananchi (CUF) Kata ya Makurumla wilayani Ubungo, kimetangaza mapambano na mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).
Read more »

Labels:

Mwingine auawa Ikwiriri

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Mkuranga, Kibiti na Rufiji, Onesmo Lyanga.

Rahim Kwangaya, mkazi wa Mandela, Ikwiriri mkoani Rufiji, ameuawa kwa kupigwa riasi na watu wasiofahamika, kisha maiti yake kwenda kutupwa kwenye jalala lililopo kando ya nyumba yake, tukio lililotokea usiku wa kuamkia juzi.
Read more »

Labels:

UVCCM yamjia juu kigogo Chadema

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Arusha umesema kauli iliyotolewa na Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa ya kuwahusisha viongozi wa UVCCM na CCM kuwanunua madiwani wa Chadema waliojizulu, ni ya uongo.
Read more »

Labels:

undu Lissu Amvaa Rais Magufuli na Mwinyi


Leo Julai 17 akizungumza na Waandishi Habari Jijini Dar es salaam, Mbunge wa Jimbo la Singida
Read more »

Labels:

Saturday, 15 July 2017

ANNOUNCEMRNT FROM STUDENTS LOAN BOARD

Read more »

Labels:

MPYA KUTOKA TCU:TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA FORM SIX WALIOMALIZA MWAKA HUU NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA KUHUSU APPLICATION ZA DIGRII MWAKA WA MASOMO 2017/2018

   

Tokeo la picha la TCU.GO.TZ

Labels:

UPDATES:HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZOTE ZA FORM V/KIDATO CHA TANO(5) 2017/2018


Tokeo la picha la SERIKALI YA TANZANIA


    MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SEKONDARI KIDATO CHA TANO

    Read more »

    Labels:

    matokeo ya kidato cha sita 2016/17

    Read more »

    Labels:

    Thursday, 13 July 2017

    UFAHAMU UPUNGUFU WA DAMU : DALILI, CHANZO NA MATIBABU YAKE









    Normal    = Kiasi cha kawaida cha damu
    Anaemia = Upungufu wa damu (Seli nyekundu za damu na Haemoglobini huwa kidogo)

     Upungufu wa damu ni ile hali ya kiasi cha damu mwilini kuwa kidogo kuliko kinachotakiwa na mwili kulingana na hali ya mtu na jinsia yake. Hupimwa maabara na hospitali kwa kuangalia kiasi cha Haemoglobin, ambayo ni chembechembe za damu na ndiyo hufanya kazi haswaa za damu kama vile kusafirisha hewa tunayovuta ndani (Oksijeni) na ile tunayotoa nje (Hewa ya ukaa/Kaboni Dayoksaidi).
    Read more »

    Labels:

    Wednesday, 12 July 2017

    PROF.SEMEKA AWATAKIA LIKIZO NJEMA WANAFUNZI WOTE WA CHUO KIKUU CHA DODOMA










    Prof. SEMEKA wa chuo kikuu cha Dodoma ameweatakia likizo na safari njema wanajumhiya ya chuo kikuu cha Dodoma wanao tegemea kuanza likizo yao mapema tarehe 15-07-2017.

    Pia katoa ushauri kwa wanajumhiya hao kuwa makini  na mambo yasiyo na tija katika kipindi hiki ambacho wengi wao wanategemea kuanza mafunzo kwa vitendo ( yajulikanayo kama field)

    IPTL yatua Ikulu


    ZIKIWA zimebaki siku mbili kufika Julai 15 ambao ndio ukomo wa leseni ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imeelezwa kuwa hatima yake sasa ipo mikononi mwa Ikulu.
    Read more »

    Labels:

    TRA yakusanya Trilioni 14.4

    MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeweka wazi makusanyo yake ya fedha kwa kipindi cha mwaka 2016/17 kwa kufanikiwa kukusanya Sh trilioni 14.4.
    Read more »

    Labels:

    Ngeleja akosolewa kurudisha fedha za Escrow

    Ngeleja akosolewa kurudisha fedha za Escrow

    Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja alitangaza hivi karibuni kurudisha Tsh. mil 40.4 alizopewa na mfanyabiashara James Rugemarila ambaye anahusishwa na tuhuma za ESCROW na kuibua mijadala katika jamii.
    Read more »

    Labels: