Wednesday, 12 July 2017

PROF.SEMEKA AWATAKIA LIKIZO NJEMA WANAFUNZI WOTE WA CHUO KIKUU CHA DODOMA










Prof. SEMEKA wa chuo kikuu cha Dodoma ameweatakia likizo na safari njema wanajumhiya ya chuo kikuu cha Dodoma wanao tegemea kuanza likizo yao mapema tarehe 15-07-2017.

Pia katoa ushauri kwa wanajumhiya hao kuwa makini  na mambo yasiyo na tija katika kipindi hiki ambacho wengi wao wanategemea kuanza mafunzo kwa vitendo ( yajulikanayo kama field)

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home