Wednesday, 14 June 2017

Ratiba kamili ya Manchester United msimu wa 2017/2018

Baada ya msimu uliopita kumaliza katika nafasi ya sita, hii ndio ratiba ya Manchester United katika msimu wa ligi wa mwaka 2017/2018 utakaonza tarehe 12/8.
Read more »

Labels:

Ratiba kamili ya mabingwa Chelseafc ya msimu wa 2017/2018

Baada ya msimu uliopita Chelsea kubeba taji la ligi kuu nchini Uingereza, leo ratiba mpya imetoka ya msimu ujao wa ligi huku Tottenham waliokuwa wapinzani wakubwa wa Chelsea msimu uliopita watakutana mwanzoni tu wa ligi.
Read more »

Labels:

Sunday, 11 June 2017

Morata Kutua Old Trafford Kesho Jumatatu kwa Ajili ya Kupimwa Afya.


Manchester United imekubali kulipa ada ya uhamisho wa pauni 64milioni  kwa ajili ya Alvaro Morata.

Morata atawasili England kwa ajili ya vipimo Jumatatu kwa mujibu wa magazeti ya Hispania. 
Read more »

Labels: