Ripoti ya utafiti kuhusu sifa za waalimu kitaaluma, hamasa na moyo walio nao katika kufundisha na athari zake katika kutoa elimu bora
Thursday, October 20, 2011

Je, Walimu wetu wana Sifa za Ualimu na Hamasa ya
Kufundisha?
Ripoti ya utafiti kuhusu sifa za waalimu kitaaluma,
hamasa na moyo walio nao katika kufundisha na athari zake katika kutoa elimu
bora
Oktoba 2011
Shukrani
Utafiti huu ni jitihada za pamoja kati ya HakiElimu
na Idara ya Saikolojia ya Elimu na Mafu
nzo ya Mitaala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kwa
ushirikiano na Wafanyakazi wa HakiElimu Dk. Kitila Mkumbo
aliandaa mpango na tafiti pendekezo na kutoa mafunzo kwa wafanyakazi kuhusu
njia za ukusanyaji wa taarifa. Pia alisimamia mchakato mzima wa utafiti na
kuandika ripoti kuu.
Wafanyakazi wafuatao walifanya kazi ya utafiti kwa
kutembelea maeneo ya utafit
Read more »Labels: HABARI