Thursday, 15 June 2017

SELEMAN M KAJANA ( PROF. SEMEKA)














                                          KUZALIWA
Seleman m Kajana  ni kijana wa Ndg EDIGA DAUD KAJANA MARINGO  na MECTRIDA MANUMBU  akiwa mtoto wa kwanza kuzaliwa kwa pande zote mbili yaani kwa baba na mama. Alizaliwa tarehe 20/08/1993 katika kijiji cha Busambara-Kibara-BUNDA-MARA kwa wakati huo licha ya sasa kijiji hicho Kubadilishwa jina na kuitwa CHITENGULE.

                                            ELIMU
Seleman  m Kajana  alilewa na bibi yake kizaa mama bi MERESIANA MANUMBU hadi pale alipofikisha umri  wa  kwenda shule . Licha ya kuchelewa sana alianza shule mwaka 2002 na kuhitimu elimu ya msingi katika shule ya msingi KITENGULE iliyoko wilayani Bunda mkoani Mara mwaka 2008.
Baada ya kuhitimu elimu ya msingi alichaguliwa kujiunga na elimu ya upili ( secondary school) shule ya ufundi Musoma( MUSOMA TECHNICAL SCHOOL) kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa familia hakuweza kusoma katika shule hiyo badala yake alijiunga na shule ilkiyoko karibu na kwao ya CHITENGULE SECONDARY SCHOOL mwaka 2009 ambapo alihitimu kidato cha nne mwaka 2012.
Baada ya kuhitimu kidato cha nne alichaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita (form 5&6) shule ya upili ya juu ya Sengerema ( SENGEREMA HIGH SCHOOL) mwaka 2013 akisoma Tahasusi ya HKL ambapo alihitimu kidato cha sita mwezi Mei  2015.
Alijiunga  na elimu ya chuo kikuu akichukua Shahada ya kwanza ya elimu kwa watu wenye mahitaji maalumu ( Bachelor of Education In special needs, BED-SPED) kuanzia Nov, 2015-2018 chuo kikuu cha Dodoma
                                            DINI
Seleman m Kajana ni mkristo na muumini wa kanisa la seventh day adventist  SDA  ALIYEBATIZWA HUKO DODOMA KATI TAREHE 9/12/2017
                                           SIFA ZA  ZIADA
Ø  Alijiunga na mafunzo ya msingi wa kompyuta katika kituo cha mafunzo ya compyuta kazilankanda-Ukerewe (Kazilankanda Computer Training Centre KC.T.C)mwaka 2012-2013
Ø  Alijiunga na Mafunzo ya awali ya kijeshi  katika kambi ya Mafinga J.K.T ambapo alitunukiwa cheti cha mafunzo hayo mwaka  2015
Ø  Ni mpenzi  wa siasa na nyimbo za dini (interested in both politics and gospel  tracks

CONTACTS:
                     PHONE NUMBER:0744112335
                     EMAIL: seremankajana@gmail.com

                    ADDRESS: P. O. BOX 29 BUNDA.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home